Like Us On Facebook

NEYMAR APELEKA MSIBA MADRID,BALE ASHINDWA KUONESHA THAMANI YAKE


Barcelona imeishinda Real Madrid kwa mabao 2-1 katika mechi ya La Liga maarufu kama El Clasico.
Mshambuliaji Mbrazil, Neymar da Silver amefunga bao la kwanza katika dakika ya 19 huku Alexis Sanchez aliyeingia kipindi cha pili akimalizia kazi katika dakika ya 78 kutokana na makosa ya kipa Diego Lopez.
Bao moja la wageni Real Madrid kwenye Uwanja wa Camp Nou, lilifungwa katika dakika ya 90 na Jese Rodriguez aliyeingia kipindi cha pili.
Bundle: Neymar is surrounded by his Barcelona teammates after he opens the scoring against Real Madrid
Bundle: Neymar is surrounded by his Barcelona teammates after he opens the scoring against Real Madrid
Stunner: Alexis Sanchez put in a superb chip
Stunner: Alexis Sanchez put in a superb chip

Mechi hiyo ilikuwa nzuri ingawa wachezaji wawili nyota Cristiano Ronaldo na Lionel Messi walishindwa kuonyesha cheche zao.
Lakini mshambuliaji ghali zaidi duniani, Gareth Bale naye alishindwa kuonyesha cheche zake na kutolewa katika kipindi cha pili.
Kutokana na ushindi huo, Barcelona imekwea kileleni ikifuatiwa na Atletico Madrid yenye mchezo mmoja mkononi na Madrid wako katika nafasi ya tatu.
Samba star: Neymar put in a brilliant display
Samba star: Neymar put in a brilliant display
Samba star: Neymar put in a brilliant display

Neymar, Fabregas and Xavi exchanged passes as Barça threatened and soon they were 1-0 up.Despair: Cristiano Ronaldo felt he should have had a penalty with the score at 1-0
Despair: Cristiano Ronaldo felt he should have had a penalty with the score at 1-0
Disappointing: Gareth Bale was stifled in his first game against Barcelona
Disappointing: Gareth Bale was stifled in his first game against Barcelona
Agony: Cristiano Ronaldo never really got fully involved in the game
Agony: Cristiano Ronaldo never really got fully involved in the game
Teamwork: Lionel Messi posted a picture on Instagram after the game with himself, Neymar and Co relaxing
Farewell: Barca fans presented a message for former boss Tito Villanova before the game
Farewell: Barca fans presented a message for former boss Tito Villanova before the game
Stars in trouble: Ronaldo and Bale have a discussion after Barca's opener
Stars in trouble: Ronaldo and Bale have a discussion after Barca's opener
Tactical battle: Tata Martino (left) and Carlo Ancelotti (right) were also facing their first 'El Clasico'
Tactical battle: Tata Martino (left) and Carlo Ancelotti (right) were also facing their first 'El Clasico'
Catch me if you can: Ronaldo chases Lionel Messi
Catch me if you can: Ronaldo chases Lionel Messi
Finish: Alexis Sanchez was jubilant after his eventual winning goal
Finish: Alexis Sanchez was jubilant after his eventual winning goal

Consolation: Jese netted Madrid's goal but it was never going to be enough
Consolation: Jese netted Madrid's goal but it was never going to be enough
MATCH FACTS
BARCELONA:
 Valdés, Alves, Piqué, Mascherano, Adriano, Sergio Busquets, Xavi, Iniesta (Song 77), Fàbregas (Alexis 70), Messi, Neymar (Pedro 84)
Subs not used: Pinto, Montoya, Puyol, Sergi Roberto
Booked: Adriano, Busquets
Scorers:  Neymar 19, Alexis 78
 Diego López, Carvajal, Varane, Pepe, Marcelo, Ramos (Illarramendi 56), Modric, Khedira, Di Maria (Jese 76), Ronaldo, Bale (Benzema 61)
Subs not used: Casillas, Coentrão, Arbeloa, Isco
Booked: Bale, Ramos, Khedira, Marcelo
Scorer: Jese 90
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari