Like Us On Facebook

MTAZAME KAJALA AKIKWEPA KUPIGA PICHA KISA AJAJIPIGA MAKE UP AFU YUPO RAFU

Kajala Masanja
                MASTAA wetu Bongo ukimtokea ghafla na ukataka kumpiga picha bila kujiremba unaweza kumuua kwa hofu, siku za karibuni kamera ya FC ilimkosesha raha nyota wa filamu Swahiliwood Kajala Masanja pale alipokutana na mpiga picha wetu na kutaka kumpiga picha kama sehemu ya kumbukumbu katika matukio, msanii huyo alizuia huku akilalamika.
.
Kajala 604

Kajala Masanja
Kajala akiwa mtaani akimzuia mpiga picha mahiri wa FC ambaye hayupo pichani, hataki kupigwa picha hajajiandaa kujipiga Make up kuchagua pamba kali.

kajla masanja 602
“Aaah sitaki jamanii unanipigaji picha hivi hata sijajiandaa jamani, nipo rafu sipendi ukipiga picha angalau uwe smart, usinipige picha sitaki sitaki sijajiandaa picha zitakuwa mbaya please usifanye hivyo,”anasema.
Utafiti unaonyesha kuwa mara nyingi nyota wa filamu wamejenga tabia ya kujiandaa kwa kujipodoa wakiwa wapo location au wakifanya mahojiano na wanahabari, hivyo kuwa na muonekano tofauti na wanavyokuwa na maisha ya kawaida wakiwa katika mishemishe za maisha halisi.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari