Like Us On Facebook

MOURINHO ASEMA HAJUTII KUMTOA KWA MKOPO LUKAKU

            KOCHA Jose Mourinho amesema hajutii kumtoa kwa mkopo mshambuliaji Romelu Lukaku kwenda Everton.
Kocha huyo Chelsea alimshuhudia Lukaku akifunga mabao mawili dhidi ya Newcastle Jumatatu, akiongezea kwenye bao lake la kwanza alilofunga dhidi ya West Ham.
Pamoja na kufunga mabao hayo matatu, lakini Mourinho amesema timu yake ni tofauti sana na ya Roberto Martinez.
Watching eyes: Jose Mourinho was watching loan striker Romelu Lukaku's impressive display for Everton
Macho makini: Jose Mourinho alimshuhudia mshambuliaji aliemtoa kwa mkopo Romelu Lukaku akicheza vizuri Everton
From the spot: Lukaku scored two for the Toffees against Newcastle on Monday
Kwa penalti: Lukaku aliifungia mabao mawili Toffees dhidi ya Newcastle Jumatatu

Chelsea itakwenda kucheza na Norwich kesho, na Mourinho anatarajiwa kushusha kikosi kikali kilichoifunga Steaua mabao 4-0 mjini Bucharest Jumanne.
Alipoulizwa kama anajuta kumtoa mchezaji huyo kwa mkopo, Mourinho alisema: "Hapana. NI kitu kimoja kuchezea Everton, na kingine kuchezea Chelsea,".
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari