Hit maker wa Song ya “Nikifa Kesho”, na “Number One”
Diamond Platnumz anatarajia kuondoka leo nchini kuelekea china ambako
atafanya show huko katika mji wa Guangzhou.
Msanii huyo kwa sasa
anamuonekano mpya katika mikono yake ambayo inaonesha Kachora tatoo Bado
haijafahamika kwa ni neno gani limeandikwa katika tatoo hiyo na
inamaanisha nini kwake…….
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.