Like Us On Facebook

HII NDO TATOO YA MSANII DIAMOND PLATNUM ALIYEICHORA MIKONONI MWAKE


                                                                           Hit maker wa Song ya “Nikifa Kesho”, na “Number One”  Diamond Platnumz anatarajia kuondoka leo nchini kuelekea china ambako atafanya show huko katika mji wa Guangzhou.
Msanii huyo kwa sasa anamuonekano mpya katika mikono yake ambayo inaonesha Kachora tatoo Bado haijafahamika kwa ni neno gani limeandikwa katika tatoo hiyo na inamaanisha nini kwake…….
DIAMOND3


clip_image003[7]

clip_image003[9]
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari