Like Us On Facebook

BIBI WA MIAKA 99 APATA DIPLOMA.

             99 aliyeacha shule akiwa high school mwaka 1932 hatimaye amemaliza diploma yake.Audrey Crabtree alikuwa amezungukwa na familia yake  na marafiki zake siku ya jumatatu wakati shule ya jamii iitwayo Waterloo wakimpongeza kwa kufaulu sana kwenye diploma yake wakati wa kikao cha elimu cha bodi.Report zinasema kuwa Crabtree aliacha shule akiwa senior high school mwaka 1932 kutokana na majeraha na kumhudumia bibi yake.Baada ya hapo alienda kuendesha biashara zake kwa kama miaka 30 hiviKwenye kikao Crabtree alipata diploma, nakala ya ripoti yake ya mwisho na ya kumpongeza kwa kuwa mwanafunzi bora hapo Waterloo East High School. Pia alipata zaidi ya card 100 handmade za kumpongeza kutoka kwa wanafunzi wa middle school.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari