Like Us On Facebook

TAZAMA PICHA ZA DIAMOND ALIVYOPIGA SHOW YA KUFA MTU JIJINI MWANZA, NDANI YA UKUMBI WA GOLD CREST HOTEL

               Baadhi ya akina dada waliokuwa wakifurahia muziki mzuri wa asali ya Warembo,Diamond alipokuwa akitumbuiza usiku wa jana ndani ya hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza.
 Mzee wa Ngololo Ngololo,a.k.a Diamond Platnum akiimba sambamba na mwanamuziki wa bendi ya Sky Light usiku wa jana ndani ya hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza.
 Diamond kimapozi zaidi ya kimuziki kwa mashabiki wake.

Diamond akicheza na mashabiki wake mtindo wake mpya wa ngoloo ngoloo. 
 Diamond akiimba huku Mkurugenzi wa Skylight Entertaiment,Sebastian Ndege akionekana kufuria muziki muzuri.
 Baadhi ya Mashabiki wakiburudishwa na mwanamuziki nyota anayetamba kwa sasa kwenye anga ya muziki wa bongofleva,Diamond ndani ya hotel ya Gold Crest usiku wa kuamkia leo jijini Mwanza. 
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari