Like Us On Facebook

SAMAHANI KWA HIZI PICHA: MTU MMOJA APOTEZA MAISHA BAADA YA KUSHAMBULIWA NA SIMBA HUKO MKOANI LINDI...

Mwanakijiji mmoja (45) mkoani LINDI wilayani NACHINGWEA katika kijiji cha LIONJA ameuwawa kinyama na simba wakati akielekea shambani alfajiri kwenda kuangali korosho, wakati akielekea shambani ndipo aliposhambuliwa na simba hao wawili.
Kabla ya tukio hilo simba hao walikuwa wakishambulia mbwa katika kijiji hicho, Tukio hilo lilitokea siku chache zilizopita.
MUNGU ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi..AMEN








Wanakijiji wakitaharuki baada ya kuona mwili wa marehemu....
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari