Like Us On Facebook

BONGO ALLSTARS WATOA WIMBO WA TOKOMEZA ZERO,USIKILZE HAPO CHINI MUHIMU KWA WANAFUNZI WOTE

                Wanamuziki 11 mahiri wa BongoFleva wameshirikiana kuimba wimbo kuhamasisha wadau kushirikiana ili 'KUTOKOMEZA ZERO' ambazo sasa zimezoeleka kwenye sekta ya elimu katika ngazi zote, kuanzia shule za msingi mpaka vyuoni.

Wanasema kwamba mwanafunzi akitoka na Zero shuleni hawezi kutimiza ndoto zake. Kwani uongo? Kala Jeremiah, mshindi wa tuzo tatu za mziki wa KILI anamalizia wimbo kwa kuwaasa vijana kwa kusema: PANDA MBEGU BORA, KITABU NDIYO MAISHA YAKO.

Wasanii walioimba wimbo huo ni: Linex, Roma, Linah, MwanaFA, Mwasiti, Stamina, Diamond, Maundo Zoro, Peter Msechu, Keisha na Kala Jeremiah.

SIKILIZA HAPO CHINI:


TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari