Like Us On Facebook

ANGALIA PICHA YA HAKIMU AKIWA AMELOA DAMU BAADA YA KUCHOMWA KISU MAHAKAMI--SHINYANGA

Hakimu wa mahakama ya mwanzo mkoani Shinyanga achomwa kisu na mlalamikaji baadaya ya kutoa hukumu kwa mtuhumiwa,hakimu huyo alitoa hukumu kwa mtuhumiwa wa wizi wa baiskeli yenye thamani ya 150000 aina ya neria,hukumu hiyo alitoa ikiwa mtuhumiwa hayupo mahakamani mala tu baada ya kutoa hukumu hiyo mlalamikaji aliwashukuru mahakama kwa uamuzi huo kisha akatoka nje baadaye akaingia ofisini kwa hakimu kwa kigezo cha kwamba alisahau kumpatia risti alyonunulia baiskeli baada ya muda kidogo alipoingia alianza kumshambilia hakimu kwa kumchoma kisu sehemu mbalimbali za, mwili wake na baadaya akakamatwa na jeshi la polisi na kisha hakimu kukimbizwa hospitari ya mkoa wa Shinyanga.
Hakimu wa mahakama ya mwanzo mkoani Shinyanga achomwa kisu na mlalamikaji baadaya ya kutoa hukumu kwa mtuhumiwa,hakimu huyo alitoa hukumu kwa mtuhumiwa wa wizi wa baiskeli yenye thamani ya 150000 aina ya neria.CHANZO : MATUKIO NA MICHAPO BLOG
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari