
Hakimu  wa mahakama ya mwanzo mkoani Shinyanga achomwa kisu na mlalamikaji  baadaya ya kutoa hukumu kwa mtuhumiwa,hakimu huyo alitoa hukumu kwa  mtuhumiwa wa wizi wa baiskeli yenye thamani ya 150000 aina ya  neria.CHANZO : MATUKIO NA MICHAPO BLOG
Pata Habari Motomoto za Nje na Ndani ya Nchi kila siku

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari

