Like Us On Facebook

SHILOLE: MADEE AU OMMY DIMPOZ?... KILA MMOJA ANASWA NAE CHOBINGO


STAA wa Muziki wa Mduara, Zuwena Mohammed ‘Shilole’, amewashangaza wasanii wenzake baada ya kunaswa chobingo kwa nyakati tofauti akiwa na wasanii wenzake, Hamad Ally ‘Madee’ na Omari Faraj ‘Ommy Dimpoz’. 

 Shilole akiwa na Madee.


Mpango mzima ‘uli-happen’ Agosti 25, mwaka huu ndani ya Ukumbi wa Singida Montel wakati wasanii hao walipokuwa katika shoo ya Serengeti Fiesta 2013 ‘Noma Sana’
Kwanza paparazi wetu alimfotoa Shilole picha kadhaa akiwa anafungwa zipu na Madee.



                                   ...Akiwa na Ommy Dimpoz.
 
Muda mchache baadaye, paparazi wetu alimfuma tena Shilole akiwa amekumbatiana na Ommy Dimpoz kwenye gari huku wakiwa wameangusha usingizi mzito hali iliyozua minong’ono ingawaje wawili hao walidai ni shangwe tu za Fiesta na hakuna uhusiano wa kimalovee kati yao.

                                     Katika pozi na Madee.

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari