Like Us On Facebook

PICHA ZA KINACHOJILI KWENYE IBADA YA KUMUAGA ASKOFU MOSES KULOLA

Jeneza lenye mwili wa Askofu Moses Kulola
Wachungaji wakijipanga kuusubiri mwili wa Marehemu


Mmoja ya watoto wa kiume wa Marehemu akilia kwa uchungu



Baadhi ya ndugu katika ibada ya kumwaga

Baadhi ya wachungaji

Askofu Sylevester Gamanywa akimfariji mke wa marehemu Dr Moses Kulola

Msaidizi wa Askofu la EAGT Asumwisye Mwaisabila mwenye mvi ambaye ameachiwa kanisa la EAGT akiongoza mamia ya waombolezaji 



Jeneza lenye mwili wa Askofu Dr Moses Kulola





Picha kwa hisani ya Mtandao wa WAPO RADIO na Philemon Rupia
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari