Like Us On Facebook

KIM KARDASHIAN AMEKATAA MTOTO WAKE 'NORTH WEST' ASIPIGWE PICHA KWA KIASI CHA DOLA 3000....!!

Kim Kardashian has turned down a $3 million offer for the first picture of daughter North West. Watu wengi wameshangazwa baada ya Kim Kardashiam kuchomoa mtoto wake North West asipigwe picha ya kwanza kwa kiasi cha $ 3Million.
Kanye na Kim walisema hawataki picha za mtoto wao North West zisambae kwenye mitandao. Wachumba hawa wanaonekana wanafata nyao za Jay Z na mchumba wake Beyonce.
Kim Kardashian anamipango ya kutengeneza nguo za watoto baada ya designer wake Lloyd Klein kumwambia biashara hiyo itampa faida nzuri.

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari