Like Us On Facebook

BIBI ‘MCHAWI’ AANGUKA WAKATI AKIWANGA CHANIKA

                Watu wakimshangaa bibi aliyedaiwa kuwa mchawi. Ni aliyekaaa 
katikati.

 
                      ...Akipewa chakula, wali na maharage kutoka kwa wasamaria wema.
                                                   Akiwa kapakatia sahani la wali aliopewa.
Watu waliokusanyika kumshangaa.
BIBI mmoja ambaye hakuweza kupatikana jina lake mara moja, jana majira ya saa mbili usiku maeneo ya Chanika, jijini Dar es Salaam alidaiwa kuanguka wakati akiwa katika harakati za kuwanga ambapo wakazi wa hapo walimkamata na kuanza kumhoji kwa maswali mbalimbali kama anavyoonekana pichani.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari